MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA ASHIRIKI HAFLA YA DUA YA KUOMBEA TAIFA AMANI, JIJINI DAR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan,
akihutubia wakati wa hafla maalumu ya kuliombea Taifa Amani,
iliyoandaliwa na Kamati ya Amani,iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond
Jubilee, jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment