RAIS MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, ATEUA UONGOZI MPYA WA MUDA
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ,
leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili na kukutana na hali ya kumsikitisha.
“
Rais amesikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya huduma kwa wagonjwa
hususan wanaolala chini. Pia amekasirishwa na hali ya kutokujali wala
kushughulikia vifaa vya kufanyia kazi ambapo amekuta mashine muhimu za
uchunguzi wa magonjwa kama vile MRI na CT-SCAN zikiwa hazifanyi kazi kwa
muda wa miezi miwili sasa, ilihali mashine kama hizo katika Hospitali
za binafsi zinafanya kazi na wagonjwa wanaelekezwa kwenda kutafuta
huduma huko”. Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema na kutoa
maelekezo yafuatayo :
No comments:
Post a Comment