Jeshi la Kenya latuhumiwa Somalia
Jeshi la Kenya limetuhumiwa kujihusisha na biashara, badala ya kufanya kazi zinazowahusu nchini Somalia.
Taasisi ya Wanahabari Wanaopigania haki imelituhumu jeshi hilo kujiingiza katika masuala yanayowaletea faida.
Taasisi hiyo imewalaumu baadhi ya maofisa wa jeshi kushirikiana katika biashara haramu na wapiganaji wa Al Shabaab.
Sikiliza mahojiano ya David Wafula na Msemaji wa Jeshi la Kenya Kanali David Obonyo, ambaye anakanusha tuhuma hizo

Jeshi la Kenya limetuhumiwa kujihusisha na biashara, badala ya kufanya kazi zinazowahusu nchini Somalia.
Taasisi ya Wanahabari Wanaopigania haki imelituhumu jeshi hilo kujiingiza katika masuala yanayowaletea faida.
Taasisi hiyo imewalaumu baadhi ya maofisa wa jeshi kushirikiana katika biashara haramu na wapiganaji wa Al Shabaab.
Sikiliza mahojiano ya David Wafula na Msemaji wa Jeshi la Kenya Kanali David Obonyo, ambaye anakanusha tuhuma hizo
No comments:
Post a Comment