MBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI,JAFARY MICHAEL ATEMBELEA KATA ZILIZOATHIRIKA NA MVUA ZILIZONYESHA HIVI KARIBUNI.
Mbunge
wa Jimbo la Moshi mjini ,Jafary Michael (mwenye suti) akiwa na Mstahiki
Meya wa Manispaa ya Moshi,Raymond Mboya (Kulia) wakizungumza na Diwani
wa kata ya Ng'ambo ,Genesis Kiwhelu walipofika katika kata hiyo kujionea
athari za miondombinu iliyotokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni
No comments:
Post a Comment