Thursday, 12 May 2016

mahakama yaiamuru Kampuni ya TIGO kuwalipa mwana FA na AY zaidi ya Bil. 2

Mahakama ya Hakimu Mkazi Ilala imeiamuru kampuni ya Mawasiliano ya TIGO kuwalipa wasanii Hamis Mwinjuma 'MwanaFA' na Ambwene Yessaya 'AY' jumla ya shilingi bilioni 2.18.

Fedha hizo ni za fidia baada ya kutumia nyimbo yao kama Caller Tune(Mwitikio wa simu) bila ruhusa wala mkataba

No comments:

Post a Comment